HATIMAYE MAN CITY WAKABIDHIWA KOMBE LAO LEO ETIHAD


Wachezaji wa Manchester City wakishangilia na Kombe lao la ubingwa wa Ligi Kuu ya England baada ya kukabidhiwa leo Uwanja wa Etihad kufuatia sare ya 0-0 na Huddersfield Town. Man City ilijihakikishia ubingwa wa England Aprili 15 baada ya Manchester United kufungwa na West Brom

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

KOCHA WA ZAMANI WA YANGA, JACK CHAMANGWANA AFARIKI DUNIA MALAWI AKIWA ANA UMRI WA MIAKA 61

REFA MBAYA WA RONALDO APEWA FAINALI LIGI YA MABINGWA